Sunday, April 21, 2013

Je, Mtume Muhammad Yuko Wapi Hivi Leo?




Mungu hutufunulia mambo mbalimbali kupitia watumishi wake mbalimbali anaowachagua ili kutujulisha yale yaliyopo na hata yajayo; yaliyo katika ulimwengu huu na pia ule ujao. Wapo watu wengi ambao Mungu amewatumia kutufahamisha juu ya mbingu na hata juu ya kuzimu.


Bo Ra Choi ni mchungaji kutoka Korea ya Kusini. Mchungaji huyu amekuwa akionyeshwa maono mbalimbali na Mungu kuhusu mambo ya ulimwengu wa roho. Mojawapo ya maono aliyoonyeshwa yanamhusu Muhammad, mtume wa Uislamu.


Je, Muhammad yuko wapi hivi leo? Tafadhali bofya HAPA ili kupata jibu.

2 comments: