Monday, June 3, 2013

Akef Tayem, Mwislamu Kutoka Palestina Akutana na Bwana Yesu na Kuokoka - Sehemu ya 2





Hii ni sehemu ya 2 ya ushuhuda wa Akef Tayem, Mwislamu wa kutoka Palestina ambaye alikutana na Bwana Yesu, kisha akawa Mkristo. Ili kupata picha kamili, tafadhali anza kusoma sehemu ya 1 HAPA.

…………………….


Baada ya Akef Tayem kukataliwa na familia yake kwa sababu amekubali kumpokea Yesu Kristo maishani mwake, alijikuta akikosa kabisa hamu ya kula kwa siku zaidi ya 40 akiwa porini. Mwili wake ulidhoofika sana na kuishiwa maji. Yafuatayo ni mahojiano kati ya mtangazaji, Sid Roth and Akef Tayem: