Monday, April 2, 2012

Nitashindaje Dhambi Inayonisumbua?


Baba yangu mmoja wa kiroho alipenda kusema, “Jiachie tu kwa Mungu naye atafanya.”

Neno hilo lilinisumbua kwa muda mrefu sana kujua maana yake. Nilikuwa najiuliza, “Jiachie maana yake nini? Mbona mimi najaribu kuishi maisha matakatifu lakini nashindwa? Ina maana mimi sijaokoka?”