Sunday, July 27, 2014

Kubatizwa kwa Moto Uwakao - 4




====  SIKU YA 10  ====

Kim, Joo-Eun: 
Wakati nikiwa nimezama katika kuomba kwa lugha, joka jekundu lilinitokea. Lilikuja kwangu kwa kasi na kunirukia. Lilikuwa na macho kama ya mamba na makucha makubwa makali, na likajaribu kunitisha kwa makucha yake. Moshi unaotia kinyaa ulitoka kwenye pua zake. "Ewe shetani mbaya, ondoka kwangu kwa Jina la Yesu." Nilikuwa napaza sauti kama mwanamke mwenye wazimu. Ndipo joka hilo likaelekea upande wa kaka  Haak-Sung.  Haak-Sung akashtuka. Kuomba

Saturday, July 19, 2014

Kubatizwa kwa Moto Uwakao - 3


Huu ni ushuhuda unaotokana na kitabu kinachojulikana kama Baptized by Blazing Fire, Devine Expose of Heaven and Hell kilichoandikwa na Mchungaji Yong-Doo Kim wa Korea. Ni ushuhuda mrefu ambao utakupa mafundisho, maonyo, utakutia moyo na kukuimarisha katika safari yetu ya kuelekea kwa Baba, Mbinguni.

Wednesday, July 16, 2014

Kubatizwa kwa Moto Uwakao - 2





Huu ni ushuhuda unaotokana na kitabu kinachojulikana kama Baptized by Blazing Fire, Devine Expose of Heaven and Hell kilichoandikwa na Mchungaji Yong-Doo Kim wa Korea. Ni ushuhuda mrefu ambao utakupa mafundisho, maonyo, utakutia moyo na kukuimarisha katika safari yetu ya kuelekea kwa Baba, Mbinguni.

Monday, July 14, 2014

Kubatizwa kwa Moto Uwakao - 1




Huu ni ushuhuda unaotokana na kitabu kinachojulikana kama Baptized by Blazing Fire, Devine Expose of Heaven and Hell kilichoandikwa na Mchungaji Yong-Doo Kim wa Korea. Ni ushuhuda mrefu ambao utakupa mafundisho, maonyo, utakutia moyo na kukuimarisha katika safari yetu ya kuelekea kwa Baba, Mbinguni.