Sunday, May 27, 2018

Kubatizwa kwa moto uwakao - 15





==== SIKU YA 24 ====

Kim Joseph: (2 Timotheo 3:1-5)
Wakati nikiomba kwa kunena kwa lugha, ghafla nilianza kulia machozi ya toba. Nilikuwa nimeshangoja kwa muda mrefu ili kuihisi hasa kwa machozi toba yangu. Mwili wangu ulishakuwa moto. Kwa hiyo, pepo mchafu mwenye umbo la nyoka alipotokea, nilimkamata na kumzungusha hewani.

Thursday, May 24, 2018

Kubatizwa kwa moto uwakao - 14



==== SIKU YA 23 ==== (1 John 3:7-10)  
Mchungaji Kim Yong Doo: * Mama Kang, Hyun Ja alishambuliwa na mapepo baada ya kujisahau
Kwenye saa 5 kamili asubuhi, mke wangu, Joseph, Joo Eun, na mimi tulisimama mbele ya mgahawa unaotazamana na jengo la Chama cha Ushirika cha Kilimo. Mke wangu alipoanza kutembea, alishambuliwa na kuanguka chini. Alianguka kwa nguvu sana kwenye barabara ngumu ya lami, takribani mita tano kutoka kwangu, utadhani alikuwa anateleza kwenye barafu. Jambo hilo lilitokea kwa haraka sana, hatukupata muda wa kumdaka wakati alipotupwa hivyo. Alipiga kelele za maumivu na sote tukamkimbilia ili kumsaidia ainuke. Viganja vyake vyote vilikuwa vimechanika, kucha zimevunjika, na mikono ilikuwa imefunikwa na damu.

Saturday, May 12, 2018

E-book -- Moyo wa mwanadamu

Jipatie e-book hii; naamini 
Bwana atasema nawe
 kupitia e-book hiyo.

 

Bonyeza HAPA.

E-Book -- Imani inayong'oa milima

Jipatie e-book hii; naamini 
Bwana atasema na moyo 
wako kupitia humo.




 

Bonyeza HAPA