Friday, January 11, 2013

Je, Muhammad Ametabiriwa Kwenye Biblia? – Sehemu ya II




Katika makala yaliyopita tuliona hoja za ndugu wa Kiislamu wanavyojaribu kwa juhudi nyingi kuonyesha kwamba Muhammad ametabiriwa kwenye Biblia.

Katika makala hayo niliahidi kuwa nitaeleza jinsi ambavyo hoja zao hazina ukweli wowote. Licha ya kwamba Mungu wanayemwamini amewahakikishia kwamba Muhammad ametajwa kwenye Biblia, ukweli ni kwamba hajatajwa hata kidogo!

Tafadhali bofya HAPA ili kusoma makala haya.


Usiache pia kusoma shuhuda zingine zote ndani ya www.waislamukwayesu.blogspot.com

3 comments:

  1. ASALAAM LEYKUM

    what have you got to say on

    The Gospel of Barnabas?

    ReplyDelete
  2. 163: Muhammad-the White Cloud of Mercy
    Sunday, 27 April 2008 19:47 | PDF | Print | E-mail
    User Rating: / 119
    PoorBest
    Share

    Jesus went into the wilderness beyond Jordan with his disciples, and when the midday prayer was done he sat down near to a palm-tree, and under the shadow of the palm-tree his disciples sat down. Then Jesus said: 'So secret is predestination, O brethren, that I say to you, truly, only to one man shall it be clearly known. He it is whom the nations look for, to whom the secrets of God are so clear that, when he comes into the world, blessed shall they be that shall listen to his words, because God shall overshadow them with his mercy even as this palm-tree overshadows us. Yes, even as this tree protects us from the burning heat of the sun, even so the mercy of God will protect from Satan them that believe in that man.'

    The disciples answered, "O Master, who shall that man be of whom you speak, who shall come into the world?" Jesus answered with joy of heart: 'He is Muhammad;, Messenger of God, and when he comes into the world, even as the rain makes the earth to bear fruit when for a long time it has not rained, even so shall he be occasion of good works among men, through the abundant mercy which he shall bring. For he is a white cloud full of the mercy of God, which mercy God shall sprinkle upon the faithful like rain.'

    http://www.barnabas.net/chapters/211.html?task=view

    ReplyDelete
  3. Salim, asante kwa maoni haya. Kuhusu hii inayoitwa Injili ya Barnaba, naomba unipe muda kidogo ili niwe na jibu la kueleweka badala ya kusema tu si ya kweli. Tafadhali bear with me, I will answer about it. Be blessed.

    ReplyDelete