Monday, March 31, 2014

Niliokolewa Toka kwenye Nguvu za Giza - Sehemu ya 2

Sura ya 2: Kuingizwa Kundini

Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, lakini mwisho wake ni njia za mauti.” (Mithali 14:12).


Bali wabaya wanafanana na bahari iliyochafuka; maana haiwezi kutulia, na maji yake hutoa tope na takataka. Hapana amani kwa wabaya; asema Mungu wangu.” (Isaya 57:20-21).

Tuesday, March 25, 2014

Niliokolewa Toka Kwenye Nguvu za Giza – Sehemu ya 1

Emmanuel Eni alizaliwa nchini Naijeria. Alipitia mateso na dhiki nyingi chini ya vifungo vizito vya ibilisi. Katika ushuhuda huu, anatusimulia kile kilichotokea maishani mwake, mateso aliyopata na hatiamaye jinsi Bwana alivyompa ushindi.

Sunday, March 16, 2014

Mwanafunzi wa Mchawi - Sehemu ya 5


(Waebrania 11:35-40)


Hii ni sehemu ya mwisho ya ushuhuda wa Jim McCoy aliyekuwa mwanafunzi wa mwanamke mchawi kule Marekani, lakini akaokolewa na Bwana Yesu na kutolewa ndani ya vifungo vya mauti.

Monday, March 10, 2014

Mwanafunzi wa Mchawi - Sehemu ya 4


Kuhubiri Injili kwa kila kiumbe na kila mahali


Matibabu ya kisaikolojia (psychotherapy) ni aina nyingine ya mazoezi ambayo yanaonekana ni ya kisayansi kabisa, kama njia ya kuwasaidia watu. Watalamu wengi wa  ‘psychotherapy’ hutumia taaluma hii kuwasaidia watu sababu hasa ya majonzi yao (depression) au kubadili namna ya tabia au mazoea mabaya waliyo nayo. Lakini ni nini hasa kinachoendelea humo? Wanafungua milango ya ndani na kwa kufanya hivyo, wanafungua njia kwa kazi za mapepo. Hii ni pamoja na aina zote za mapumziko ya kisaikolojia (psychological relaxations).